Zaburi 33:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+ Habakuki 3:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+ Wafilipi 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Shangilieni sikuzote katika Bwana.+ Mara nyingine tena nitasema, Shangilieni!+
33 Pigeni vigelegele vya shangwe, enyi waadilifu, kwa sababu ya Yehova.+Sifa ni jambo linalofaa kwa wanyoofu.+
18 Lakini mimi, nitafurahi katika Yehova mwenyewe;+ nitakuwa na shangwe katika Mungu wa wokovu wangu.+