Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Hakuna aliye mtakatifu kama Yehova, kwa maana hakuna mwingine isipokuwa wewe;+

      Na hakuna mwamba ulio kama Mungu wetu.+

  • Isaya 6:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Na huyu akamwita yule na kusema: “Mtakatifu, mtakatifu, mtakatifu ni Yehova wa majeshi.+ Utukufu wake umejaa katika dunia yote.”

  • Yohana 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Pia, mimi simo tena ulimwenguni, bali wao wamo ulimwenguni+ nami ninakuja kwako. Baba Mtakatifu, walinde+ kwa sababu ya jina lako ambalo umenipa, ili wawe kitu kimoja kama vile sisi tulivyo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki