Zaburi 21:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana umemfanya abarikiwe sana milele;+Unamfanya afurahie kwa shangwe mbele za uso wako.+ Mathayo 5:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “Wenye furaha ni wale walio safi moyoni,+ kwa kuwa watamwona Mungu.+ Matendo 2:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Umefanya njia za uzima zijulikane kwangu, utanijaza uchangamfu mwingi kwa uso wako.’+ 1 Timotheo 1:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 kulingana na habari njema yenye utukufu ya Mungu mwenye furaha,+ ambayo mimi nilikabidhiwa.+