8 Basi utamtakasa,+ kwa sababu yeye ni mtu anayeutoa mkate wa Mungu wako. Atakuwa mtakatifu kwako,+ kwa sababu mimi Yehova, ninayewatakasa ninyi, mimi ni mtakatifu.+
7 na mtie moto ndani yake na kutia uvumba juu yake mbele za Yehova kesho, na itatukia kwamba mtu ambaye Yehova atamchagua,+ yeye ndiye mtakatifu. Imetosha, enyi wana wa Lawi!”+