Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezra 8:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Ndipo nikatangaza kwamba watu wafunge hapo penye mto Ahava, ili tujinyenyekeze+ mbele za Mungu wetu, tutafute kutoka kwake njia iliyo sawa+ kwa ajili yetu na kwa ajili ya watoto wetu+ na kwa ajili ya mali zetu zote.

  • Zaburi 78:52
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 52 Baadaye akawafanya watu wake waondoke kama kondoo,+

      Na kuwaongoza kama kundi nyikani.+

  • Isaya 30:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Na masikio yako yatasikia neno nyuma yako likisema: “Hii ndiyo njia.+ Tembeeni ndani yake,” iwe mtakwenda upande wa kuume au iwe mtakwenda upande wa kushoto.+

  • 2 Petro 2:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana ingalikuwa afadhali kwao kama hawangalijua kwa usahihi njia ya uadilifu+ kuliko baada ya kuijua kwa usahihi kugeuka kutoka katika amri takatifu waliyopewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki