Zaburi 77:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Umewaongoza watu wako kama kundi,+Kwa mkono wa Musa na Haruni.+ Zaburi 105:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa. Zaburi 136:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Na Yule anayetoa Israeli kutoka katikati yao:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+
37 Naye akaanza kuwatoa nje wakiwa na fedha na dhahabu;+Na katikati ya makabila yake hapakuwa na yeyote mwenye kujikwaa.
11 Na Yule anayetoa Israeli kutoka katikati yao:+Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+