Kutoka 12:51 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri. 1 Samweli 12:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Na Samweli akaendelea kuwaambia watu hao: “Yehova ni shahidi, aliyewatumia Musa na Haruni, na ambaye aliwaleta mababu zenu kutoka nchi ya Misri.+ Zaburi 78:52 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 52 Baadaye akawafanya watu wake waondoke kama kondoo,+Na kuwaongoza kama kundi nyikani.+
51 Na ikawa siku hiyo hiyo kwamba Yehova akawatoa wana wa Israeli pamoja na majeshi+ yao kutoka katika nchi ya Misri.
6 Na Samweli akaendelea kuwaambia watu hao: “Yehova ni shahidi, aliyewatumia Musa na Haruni, na ambaye aliwaleta mababu zenu kutoka nchi ya Misri.+