Kumbukumbu la Torati 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+ Zaburi 60:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Je, si wewe, Ee Mungu, ambaye umetutupilia mbali+Na ambaye huendi pamoja na majeshi yetu ukiwa Mungu?+
14 Kwa maana Yehova Mungu wako anatembea ndani ya kambi yako ili kukukomboa+ na kuwatia adui zako mkononi mwako;+ na kambi yako lazima iwe takatifu,+ ili asione kitu chochote kisichofaa ndani yako naye ageuke na kuacha kuandamana nawe.+
10 Je, si wewe, Ee Mungu, ambaye umetutupilia mbali+Na ambaye huendi pamoja na majeshi yetu ukiwa Mungu?+