Waamuzi 7:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi akawashusha watu majini.+ Ndipo Yehova akamwambia Gideoni: “Kila mtu ambaye ataramba maji kwa ulimi wake kama vile mbwa anavyoramba, utamweka kando peke yake, pia kila mtu atakayepiga magoti yake anapokunywa.”+ 1 Wafalme 17:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Na itatukia kwamba unapaswa kunywa+ kutoka katika hilo bonde la mto, nami nitawaamuru kunguru+ wakuletee chakula huko.”+
5 Basi akawashusha watu majini.+ Ndipo Yehova akamwambia Gideoni: “Kila mtu ambaye ataramba maji kwa ulimi wake kama vile mbwa anavyoramba, utamweka kando peke yake, pia kila mtu atakayepiga magoti yake anapokunywa.”+
4 Na itatukia kwamba unapaswa kunywa+ kutoka katika hilo bonde la mto, nami nitawaamuru kunguru+ wakuletee chakula huko.”+