16 Nami nitaufanya uzao wako uwe kama chembe za mavumbi ya dunia, ili, ikiwa mwanadamu angeweza kuzihesabu chembe za mavumbi ya dunia, basi uzao wako ungeweza kuhesabiwa.+
25 Yeye ametoka kwa Mungu wa baba yako,+ naye atakusaidia;+ naye yuko pamoja na Mweza-Yote,+ naye atakubariki kwa baraka za mbingu zilizo juu,+ kwa baraka za kilindi cha maji kilicho chini,+ kwa baraka za maziwa na tumbo la uzazi.+