Zaburi 135:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Ee nyumba ya Israeli, mbarikini Yehova.+Ee nyumba ya Haruni, mbarikini Yehova.+ 1 Petro 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+
5 ninyi wenyewe pia kama mawe yaliyo hai mnajengwa kuwa nyumba ya kiroho+ kwa kusudi la ukuhani mtakatifu, ili kutoa dhabihu za kiroho+ zenye kukubalika kwa Mungu kupitia Yesu Kristo.+