Zaburi 19:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi. Zaburi 37:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Sheria ya Mungu wake imo katika moyo wake;+Hatua zake hazitayumba-yumba.+
13 Pia umzuie mtumishi wako kutokana na matendo ya kimbelembele;+Usiyaache yanitawale.+Hapo ndipo nitakapokuwa kamili,+Nami nitakuwa sina hatia ya makosa mengi.