Zaburi 42:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 42 Kama vile paa ambaye hutamani vijito vya maji,Ndivyo nafsi yangu inavyokutamani wewe, Ee Mungu.+ Zaburi 63:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+
63 Ee Mungu, wewe ni Mungu wangu, ninaendelea kukutafuta.+Nafsi yangu ina kiu kwa ajili yako.+Mwili wangu umezimia kwa kukutamani wewe.Katika nchi iliyokauka na kuchoka, ambapo hakuna maji.+