Zaburi 73:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+ Zaburi 84:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+ Mika 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+
26 Mwili wangu na moyo wangu vimeshindwa.+Mungu ni mwamba wa moyo wangu na fungu langu mpaka wakati usio na kipimo.+
2 Nafsi yangu imetamani sana na pia imedhoofika kwa kutamani nyua za Yehova.+Moyo wangu mwenyewe na mwili wangu wenyewe humpigia Mungu aliye hai vigelegele kwa shangwe.+
7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+ Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea Mungu wa wokovu wangu.+ Mungu wangu atanisikia.+