Zaburi 119:88 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 88 Unihifadhi hai kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Ili nipate kushika kikumbusho cha kinywa chako.+ Zaburi 143:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+
88 Unihifadhi hai kulingana na fadhili zako zenye upendo,+Ili nipate kushika kikumbusho cha kinywa chako.+
11 Kwa ajili ya jina lako,+ Ee Yehova, unihifadhi hai.+Katika uadilifu+ wako na uitoe nafsi yangu katika taabu.+