Zaburi 116:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Ah, sasa, Ee Yehova,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+Mimi ni mtumishi wako, mwana wa kijakazi wako.+Umezifungua pingu zangu.+ Waroma 6:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+
16 Ah, sasa, Ee Yehova,+Kwa maana mimi ni mtumishi wako.+Mimi ni mtumishi wako, mwana wa kijakazi wako.+Umezifungua pingu zangu.+
22 Hata hivyo, sasa, kwa sababu mliwekwa huru kutoka katika dhambi lakini mkawa watumwa kwa Mungu,+ mnapata tunda+ lenu katika utakatifu, na mwisho ni uzima wa milele.+