Zaburi 86:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Nigeukie na kunionyesha kibali.+Umpe mtumishi wako nguvu zako,+Na umwokoe mwana wa kijakazi wako.+ Luka 1:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Ndipo Maria akasema: “Tazama! Kijakazi+ wa Yehova! Na itendeke kwangu kulingana na tangazo lako.” Ndipo malaika akaondoka.
16 Nigeukie na kunionyesha kibali.+Umpe mtumishi wako nguvu zako,+Na umwokoe mwana wa kijakazi wako.+
38 Ndipo Maria akasema: “Tazama! Kijakazi+ wa Yehova! Na itendeke kwangu kulingana na tangazo lako.” Ndipo malaika akaondoka.