Zaburi 18:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+ Zaburi 88:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana nafsi yangu imepata misiba ya kutosha,+Na maisha yangu yamekaribiana na Kaburi.*+ Marko 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Kisha akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+
4 Kamba za kifo zilinizunguka;+Mafuriko ya ghafula ya watu wasiofaa kitu pia yaliendelea kuniogopesha.+
34 Kisha akawaambia: “Nafsi yangu ina huzuni sana,+ kiasi cha kufa. Kaeni hapa na mwendelee kukesha.”+