Zaburi 40:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+ Zaburi 127:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.
4 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amemfanya Yehova kuwa tegemeo lake+Na ambaye hakuelekeza uso wake kwa watu wakaidi,Wala kwa wale wanaogeukia uwongo.+
5 Mwenye furaha ni mwanamume ambaye amelijaza+ podo lake na hao.Hawataona aibu,+Kwa maana wataongea na adui langoni.