Zaburi 118:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Ulinisukuma kwa nguvu ili nianguke,+Lakini Yehova mwenyewe alinisaidia.+ Zaburi 125:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Kwa maana fimbo ya enzi ya uovu haitaendelea kuwa juu ya+ kura ya waadilifu,Ili waadilifu wasiunyooshe mkono wao juu ya kosa lolote.+ Yohana 16:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu mpate kuwa na amani.+ Ulimwenguni mna dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+
3 Kwa maana fimbo ya enzi ya uovu haitaendelea kuwa juu ya+ kura ya waadilifu,Ili waadilifu wasiunyooshe mkono wao juu ya kosa lolote.+
33 Nimewaambia mambo haya ili kupitia kwangu mpate kuwa na amani.+ Ulimwenguni mna dhiki, lakini jipeni moyo! Mimi nimeushinda ulimwengu.”+