2 Samweli 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+ Zaburi 21:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Mkono wako utawapata adui zako wote;+Mkono wako wa kuume utawapata wale wanaokuchukia. Zaburi 34:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Msiba utamuua mwovu;+Na wale wanaomchukia mwadilifu watahesabiwa kuwa na hatia.+
41 Nao adui zangu, utanipa upande wa nyuma wa shingo yao;+Wale wanaonichukia vikali—nitawanyamazisha pia.+