9 Na wana wa Israeli wakaanza kumwita Yehova awape msaada.+ Ndipo Yehova akasimamisha mwokozi+ kwa ajili ya wana wa Israeli ili apate kuwaokoa, Othnieli+ mwana wa Kenasi,+ ndugu mdogo wa Kalebu.+
9 Kwa hiyo nikawakomboa ninyi kutoka katika mkono wa Misri na kutoka katika mkono wa wakandamizaji wenu wote, nikawafukuza kutoka mbele yenu, nikawapa ninyi nchi yao.+