Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 7:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Na Yehova Mungu wako hakika atawatia hao mkononi mwako, nawe utawashinda.+ Unapaswa kuwaangamiza.+ Usifanye agano lolote pamoja nao wala kuwaonyesha kibali chochote.+

  • Yoshua 10:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Na Yoshua akateka wafalme hao wote na nchi zao wakati mmoja,+ kwa kuwa ni Yehova Mungu wa Israeli aliyekuwa akipigania Israeli.+

  • Nehemia 9:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Basi wana wao+ wakaingia, wakaichukua nchi hiyo na kuimiliki,+ nawe ukatiisha+ mbele yao wakaaji wa nchi hiyo, Wakanaani,+ na kuwatia mikononi mwao, pamoja na wafalme+ wao na vikundi vya watu wa nchi,+ ili wawatendee kulingana na mapenzi yao.+

  • Zaburi 44:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Wewe mwenyewe kwa mkono wako uliwafukuzia mbali mataifa,+

      Nawe ukawapanda hao badala yao.+

      Ukavunja vikundi vya mataifa na kuwafukuza.+

  • Zaburi 78:55
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 55 Naye akayafukuza mataifa kwa sababu yao,+

      Na kuwagawia urithi kwa kamba ya kupimia,+

      Hivi kwamba akayafanya makabila ya Israeli yakae nyumbani kwao wenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki