Kutoka 15:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+ Waamuzi 5:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Sikilizeni, enyi wafalme;+ tegeni sikio, enyi maofisa wakuu:Ndiyo, nitamwimbia Yehova.Nitampigia muziki+ Yehova, Mungu wa Israeli.+
15 Wakati huo Musa na wana wa Israeli wakaanza kumwimbia Yehova wimbo huu na kusema yafuatayo:+“Acheni nimwimbie Yehova, kwa maana ametukuzwa sana.+Farasi na mpandaji wake amewatupa baharini.+
3 Sikilizeni, enyi wafalme;+ tegeni sikio, enyi maofisa wakuu:Ndiyo, nitamwimbia Yehova.Nitampigia muziki+ Yehova, Mungu wa Israeli.+