Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 1:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mungu akaanza kuiita nuru Mchana,+ lakini giza akaliita Usiku.+ Ikawa jioni, ikawa asubuhi, siku ya kwanza.

  • Mwanzo 1:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mungu akaendelea kusema: “Kuwe na mianga katika anga la mbingu ili kutenganisha mchana na usiku;+ nayo iwe ishara na kwa ajili ya majira na kwa ajili ya siku na miaka.+

  • Mwanzo 8:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Siku zote ambazo dunia inaendelea kuwapo, kupanda mbegu na kuvuna, baridi na joto, majira ya kiangazi na majira ya baridi kali, mchana na usiku, havitakoma kamwe.”+

  • Zaburi 136:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mwezi na nyota ili zitawale pamoja wakati wa usiku:+

      Kwa maana fadhili zake zenye upendo ni za mpaka wakati usio na kipimo;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki