22 Kwa sababu kupitia uwongo mnauhuzunisha moyo wa aliye mwadilifu,+ wakati mimi mwenyewe sikuwa nimemsababishia maumivu, na kwa kuifanya mikono ya aliye mwovu kuwa yenye nguvu+ hivi kwamba asigeuke na kuiacha njia yake mbaya ili kumhifadhi hai,+
3 Pia, kwa tamaa watawatumia ninyi vibaya kwa maneno yasiyo ya kweli.+ Lakini kuwahusu wao, hukumu ya tangu zamani za kale+ haisongi polepole, na maangamizi yao hayalali.+
8 Lakini kwa habari ya waoga na wale wasio na imani+ na wale wenye kuchukiza katika uchafu+ wao na wauaji+ na waasherati+ na wale wanaozoea kuwasiliana na pepo na waabudu-sanamu+ na waongo+ wote, fungu lao litakuwa ndani ya lile ziwa linalowaka moto+ na kiberiti.+ Hili linamaanisha kifo cha pili.”+