Methali 4:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa maana hawalali wasipotenda jambo baya,+ nao hawapati usingizi wasipomkwaza mtu.+ Methali 4:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kwa maana wamekula mkate wa uovu,+ nao hunywa divai ya matendo ya jeuri.+ Hosea 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Wanazidi kula dhambi ya watu wangu, nao huendelea kuinua nafsi zao kwenye kosa lao.+