Yohana 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 nanyi mtaijua kweli,+ nayo kweli itawaweka ninyi huru.”+ Wafilipi 3:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Lakini vitu vilivyokuwa faida kwangu, hivyo nimeviona kuwa hasara kwa sababu ya Kristo.+