Methali 20:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+ Mhubiri 10:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa sababu ya uvivu mkubwa paa ya jengo hubonyea, na kwa kushusha mikono, nyumba huvuja.+
4 Kwa sababu ya majira ya baridi kali mvivu hatalima;+ atakuwa akiombaomba wakati wa mavuno, lakini hapatakuwa na chochote.+