Marko 10:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Yesu akamtazama akampenda na kumwambia: “Umekosa jambo moja: Nenda, ukauze vitu ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha uje uwe mfuasi wangu.”+
21 Yesu akamtazama akampenda na kumwambia: “Umekosa jambo moja: Nenda, ukauze vitu ulivyo navyo uwape maskini, nawe utakuwa na hazina mbinguni, kisha uje uwe mfuasi wangu.”+