Waefeso 4:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+ 1 Wathesalonike 2:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa kweli, hakuna wakati wowote ambao sisi tumetokea ama tukiwa na maneno laini,+ (kama mnavyojua) au tukiwa na unafiki+ kwa ajili ya tamaa,+ Mungu ni shahidi!
25 Kwa hiyo, sasa kwa kuwa mmeuondolea mbali uwongo,+ semeni kweli kila mmoja wenu na jirani yake,+ kwa sababu sisi ni viungo vya mtu na mwenzake.+
5 Kwa kweli, hakuna wakati wowote ambao sisi tumetokea ama tukiwa na maneno laini,+ (kama mnavyojua) au tukiwa na unafiki+ kwa ajili ya tamaa,+ Mungu ni shahidi!