Zaburi 115:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Mbingu ni mbingu za Yehova,+Bali dunia amewapa wana wa binadamu.+ Yohana 3:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+ Waefeso 4:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Basi neno “alipopanda,”+ linamaanisha nini isipokuwa kwamba alishuka pia katika maeneo ya chini zaidi, yaani, dunia?+
13 Zaidi ya hayo, hakuna mtu ambaye amepanda kuingia mbinguni+ ila yule aliyeshuka kutoka mbinguni,+ Mwana wa binadamu.+
9 Basi neno “alipopanda,”+ linamaanisha nini isipokuwa kwamba alishuka pia katika maeneo ya chini zaidi, yaani, dunia?+