Isaya 40:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani?
12 Ni nani ambaye amepima maji katika mkono wake,+ na kupima vipimo vya mbingu kwa shubiri+ na kuweka katika kipimio mavumbi ya dunia,+ au kupima milima kwa kipimio, na vilima katika mizani?