2 Samweli 12:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+ 1 Wafalme 1:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.”
24 Na Daudi akaanza kumfariji Bath-sheba mke wake.+ Na zaidi ya hayo, akaingia kwake, akalala naye. Baada ya muda akazaa mwana,+ naye akaitwa jina lake Sulemani.+ Na Yehova akampenda mwana huyo.+
21 Na hakika itatukia kwamba mara tu bwana wangu mfalme atakapolala pamoja na mababu zake,+ mimi na mwanangu Sulemani tutaonwa kuwa wahalifu.”