Methali 8:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Maneno yote ya kinywa changu ni ya uadilifu.+ Kati ya hayo hamna jambo lililopotoka wala lililo kombo.+ 1 Petro 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Basi, ondoeni ubaya+ wote na udanganyifu wote na unafiki na wivu na namna zote za masengenyo,+
8 Maneno yote ya kinywa changu ni ya uadilifu.+ Kati ya hayo hamna jambo lililopotoka wala lililo kombo.+