Methali 23:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa kweli, yeye huvizia, kama mnyang’anyi;+ naye huwaongeza wenye hila katika wanadamu.+ Yeremia 3:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Inua macho yako kuelekea mapito yaliyokanyagwa, ukaone.+ Ni wapi ambapo hawakukulala kinguvu?+ Umekaa kando ya njia kwa ajili yao, kama Mwarabu nyikani;+ nawe unaendelea kuitia nchi unajisi kwa matendo yako ya ukahaba na kwa ubaya wako.+
2 “Inua macho yako kuelekea mapito yaliyokanyagwa, ukaone.+ Ni wapi ambapo hawakukulala kinguvu?+ Umekaa kando ya njia kwa ajili yao, kama Mwarabu nyikani;+ nawe unaendelea kuitia nchi unajisi kwa matendo yako ya ukahaba na kwa ubaya wako.+