Zaburi 85:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Mbele zake uadilifu wenyewe utatembea,+Nao utafanya njia kwa hatua zake.+ Methali 11:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+
5 Uadilifu wa mtu asiye na lawama ndio utakaoinyoosha njia yake,+ lakini mwovu ataanguka katika uovu wake mwenyewe.+