Methali 14:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 Uadilifu huinua taifa,+ lakini dhambi ni aibu kwa vikundi vya mataifa.+ Methali 29:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Watu wenye maneno ya kujisifu huwasha mji+ moto, lakini wenye hekima hugeuzia mbali hasira.+