Methali 13:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kuna mtu anayejifanya kuwa tajiri lakini hana chochote;+ kuna mtu anayejifanya kuwa maskini lakini ana vitu vingi vyenye thamani. Luka 14:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kwa maana kila mtu anayejiinua atanyenyekezwa na yule anayejinyenyekeza atainuliwa.”+
7 Kuna mtu anayejifanya kuwa tajiri lakini hana chochote;+ kuna mtu anayejifanya kuwa maskini lakini ana vitu vingi vyenye thamani.