Methali 28:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+ Mhubiri 5:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nao utajiri huo umepotea+ kwa sababu ya shughuli zenye msiba, naye amemzaa mwana wakati ambao hana chochote mkononi mwake.+ Yeremia 17:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+
8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+
14 Nao utajiri huo umepotea+ kwa sababu ya shughuli zenye msiba, naye amemzaa mwana wakati ambao hana chochote mkononi mwake.+
11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+