Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Methali 28:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Anayezidisha vitu vyake vyenye thamani kwa faida+ na riba humkusanyia tu mtu anayeonyesha kibali kwa watu wa hali ya chini.+

  • Mhubiri 5:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nao utajiri huo umepotea+ kwa sababu ya shughuli zenye msiba, naye amemzaa mwana wakati ambao hana chochote mkononi mwake.+

  • Yeremia 17:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kama kwale ambaye amekusanya kile ambacho hakutaga ndivyo alivyo mtu anayekusanya utajiri, lakini si kwa haki.+ Katikati ya siku zake atauacha,+ na mwisho wake ataonekana kuwa hana akili.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki