Zaburi 81:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini watu wangu hawakuisikiliza sauti yangu;+Na Israeli hakuonyesha utayari wowote kunielekea.+ Yeremia 8:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+
9 Wenye hekima wameona aibu.+ Wameingiwa na woga nao watashikwa. Tazama! Wamelikataa neno la Yehova, nao wana hekima gani?+