Methali 26:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Chuki hufunikwa kwa udanganyifu. Ubaya wake utafunuliwa katika kutaniko.+ Luka 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani.
36 Basi mmoja wa Mafarisayo akawa akimwomba ale pamoja naye. Basi akaingia katika nyumba+ ya Farisayo huyo na kuketi mezani.