Mhubiri 10:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Ikiwa kifaa cha chuma kimepoteza makali na mtu asikinoe,+ ndipo atatumia nguvu zake mwenyewe. Kwa hiyo kutumia hekima kwa mafanikio huleta faida.+ Mathayo 10:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+
10 Ikiwa kifaa cha chuma kimepoteza makali na mtu asikinoe,+ ndipo atatumia nguvu zake mwenyewe. Kwa hiyo kutumia hekima kwa mafanikio huleta faida.+
16 “Tazama! Mimi ninawatuma ninyi kama kondoo katikati ya mbwa-mwitu;+ kwa hiyo jionyesheni wenyewe kuwa wenye kujihadhari kama nyoka+ na hata hivyo wasio na hatia kama njiwa.+