13 Sasa ikawa kwamba mara tu Labani alipoisikia habari juu ya Yakobo mwana wa dada yake, akaanza kukimbia kwenda kumpokea.+ Kisha akamkumbatia na kumbusu, akamleta mpaka ndani ya nyumba yake.+ Naye akaanza kumsimulia Labani mambo hayo yote.
16 Kisha akasema: “Mwaka ujao wakati huu uliowekwa utakuwa unamkumbatia mwana.”+ Lakini mwanamke huyo akasema: “Hapana, bwana wangu, ewe mtu wa Mungu wa kweli! Usimwambie uwongo mjakazi wako.”