Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Sasa ikawa kwamba mara tu Labani alipoisikia habari juu ya Yakobo mwana wa dada yake, akaanza kukimbia kwenda kumpokea.+ Kisha akamkumbatia na kumbusu, akamleta mpaka ndani ya nyumba yake.+ Naye akaanza kumsimulia Labani mambo hayo yote.

  • Mwanzo 33:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha Esau akaanza kukimbia kwenda kumpokea.+ Naye akaanza kumkumbatia+ na kumwangukia shingoni, akambusu, nao wakatokwa na machozi.

  • Mwanzo 48:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Sasa macho ya Israeli yalikuwa yamefifia kutokana na uzee.+ Hakuweza kuona. Basi akawaleta karibu naye, naye akawabusu na kuwakumbatia.+

  • 2 Wafalme 4:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kisha akasema: “Mwaka ujao wakati huu uliowekwa utakuwa unamkumbatia mwana.”+ Lakini mwanamke huyo akasema: “Hapana, bwana wangu, ewe mtu wa Mungu wa kweli! Usimwambie uwongo mjakazi wako.”

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki