Yeremia 20:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+ Luka 23:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 kwa sababu, tazameni! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, na matumbo ya uzazi ambayo hayakuzaa na maziwa ambayo hayakunyonyesha!’+
18 Kwa nini nimetoka ndani ya tumbo la uzazi+ ili kuona kazi ngumu na huzuni+ na ili siku zangu zifikie mwisho wake katika aibu tupu?+
29 kwa sababu, tazameni! siku zinakuja ambapo watu watasema, ‘Wenye furaha ni wanawake walio tasa, na matumbo ya uzazi ambayo hayakuzaa na maziwa ambayo hayakunyonyesha!’+