Mwanzo 41:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Farao akatuma watu wamwite Yosefu,+ kwamba wamlete upesi kutoka katika tundu la gereza.+ Basi akajinyoa+ na kubadili nguo zake za kujitanda,+ akaingia ndani kwa Farao. Mwanzo 41:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu,+ na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Mimi nitakuwa mkuu kuliko wewe katika kiti cha ufalme tu.”+
14 Na Farao akatuma watu wamwite Yosefu,+ kwamba wamlete upesi kutoka katika tundu la gereza.+ Basi akajinyoa+ na kubadili nguo zake za kujitanda,+ akaingia ndani kwa Farao.
40 Wewe binafsi utaisimamia nyumba yangu,+ na watu wangu wote watakutii kabisa.+ Mimi nitakuwa mkuu kuliko wewe katika kiti cha ufalme tu.”+