- 
	                        
            
            Yeremia 6:15Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
15 Je, waliona aibu kwa sababu jambo walilokuwa wamefanya lilikuwa chukizo?+ Jambo moja ni kwamba hakika wao hawaoni aibu yoyote; jambo lingine ni kwamba hawajapata kujua hata jinsi ya kufedheheka.+ Kwa hiyo wataanguka katikati ya wale wanaoanguka;+ watajikwaa wakati nitakapowatoza hesabu,” Yehova amesema.
 
 -