- 
	                        
            
            Waamuzi 6:13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Kwa hiyo Gideoni akamwambia: “Nakuomba radhi, bwana wangu, lakini ikiwa Yehova yupo pamoja nasi, kwa nini haya yote yametupata,+ na yako wapi matendo yake yote ya ajabu+ ambayo mababu zetu walitusimulia,+ wakisema, ‘Je, Yehova siye aliyetuleta kutoka Misri?’+ Na sasa Yehova ametuacha,+ naye anatutia katika mkono wa Midiani.”
 
 -