62 Yesu akamwambia: “Hakuna mtu ambaye ameweka mkono wake kwenye jembe la ng’ombe+ na kutazama mambo yaliyo nyuma+ anayefaa kwa ajili ya ufalme wa Mungu.”
13 Akina ndugu, bado mimi mwenyewe sijioni kwamba nimekwisha kulishika hilo; lakini kuna jambo moja kulihusu: Nayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kwenda mbele kuelekea mambo yaliyo mbele,+