17 Ikawa kwamba, mara tu walipokuwa wamewatoa nje ya jiji, akaanza kusema: “Kimbia kwa ajili ya nafsi yako!+ Usitazame nyuma+ wala usisimame katika Wilaya yote!+ Kimbilia eneo lenye milima usije ukafagiliwa mbali!”+
13 Akina ndugu, bado mimi mwenyewe sijioni kwamba nimekwisha kulishika hilo; lakini kuna jambo moja kulihusu: Nayasahau mambo ya nyuma+ na kujinyoosha kwenda mbele kuelekea mambo yaliyo mbele,+